Tuesday, March 10, 2009

MANYEMA FC YASHINDA, YAPANDA DARAJA...

Timu ya soka ya Manyema, Manyema FC leo imepanda daraja baada ya kuichapa Mwanza United kwa mabao 2-0 katika mechi ya ligi daraja la kwanza, katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam.

Kwa matokeo hayo, Manyema pamoja na timu nyingine zilizopanda daraja zitashiriki michuano ya Ligi kuu ya Tanzania msimu ujao huku Mwanza United ikiendelea kusotea daraja hilo hilo.


Baadhi ya washabiki na wachezaji wa timu ya Manyema FC wakishangilia...

No comments:

Post a Comment