Tuesday, March 31, 2009

Mamia wamzika Bisanga

Mamia ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam pamoja na maeneo mengine ya jirani, leo wamejitokeza kwa wingi kumsindikiza aliyekuwa mwandishi wa habari wa siku nyingi ndani na nje ya nchi, marehemu Hamidu Bisanga katika nyumba yake ya milele, makaburi ya Kisutu Dar es Salaam.

Marehemu Bisanga alifariki dunia hivi karibuni kwa ajali ya gari, maeneo ya Makumbusho, Dar es Salaam.


Ndugu na jamaa wa karibu wa marehemu Bisanga wakiwa wamebeba jeneza...

No comments:

Post a Comment