
Waumini wakiswalia jeneza lenye mwili wa marehemu Bisanga kabla ya maziko

Jeneza lenye mwili wa marehemu Bisanga likiwa garini kuelekea makaburini

ndugu, jamaa na marafiki wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa marehemu Bisanga kwa ajili ya maziko katika makaburi ya Kisutu..
Mungu ailaze roho ya marehemu Hamidu Bisanga mahala pema peponi, Amina!
No comments:
Post a Comment