Tuesday, March 31, 2009

Mazishi ya Marehemu Hamidu Bisanga katika Picha


Waumini wakiswalia jeneza lenye mwili wa marehemu Bisanga kabla ya maziko


Jeneza lenye mwili wa marehemu Bisanga likiwa garini kuelekea makaburini


ndugu, jamaa na marafiki wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa marehemu Bisanga kwa ajili ya maziko katika makaburi ya Kisutu..


Safari ya marehemu Hamidu Bisanga ilihitimishwa kwa kuuzika mwili wake katika kaburi hili..
Mungu ailaze roho ya marehemu Hamidu Bisanga mahala pema peponi, Amina!

No comments:

Post a Comment