Wednesday, March 11, 2009

Tukio la Mwinyi kuzabwa kofi katika picha...

Ilianza kama muvi baada ya dogo kumzaba kibao Rais Mwinyi...

Wananchi wenye hasira nusura wamtoe roho kwa kipigo takatifu...

Bahati yake nzuri wanausalama walimwokoa toka kipondoni...

Akatolewa nje... wananchi wakamtolea mimacho...

No comments:

Post a Comment