Tuesday, March 24, 2009

OBAMA KUZUNGUMZIA UCHUMI WA MAREKANI LEO

Rais Barack Obama wa Marekani leo anatarajia kuitisha mkutano na waandishi wa habari kuzungumzia mikakati ya maendeleo ya uchumi kwa nchi yake tangu aliposhika madaraka.

No comments:

Post a Comment