Thursday, March 19, 2009

KARIBU NYUMBANI JK...


Rais Jakaya Kikwete akiwapungia mikono wananchi (hawapo pichani) waliojitokeza kumpokea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo, akitokea ziarani nchini Uingereza. Kulia kwake ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

No comments:

Post a Comment