Tuesday, March 24, 2009

PINDA AZINDUA KONGAMANO LA USOMAJI VITABU AFRIKA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda leo amezindua kongamano la usomaji vitabu kwa nchi za Afrika, leo hapa jijini.

Akizungumza wakati wa uzinduzi amesema kuwa waafrika hususan watanzania hawana budi kusoma vitabu ili kuondokoana na ujinga, umasikini na maradhi.

"Ujinga, umasikini na maradhi pia huchangiwa na kutosoma vitabu." Alisema.

baadhi ya washiriki wa mkutano wa usomaji vitabu kwa nchi za Afrika

No comments:

Post a Comment