Miongoni mwa majina yaliyopendekezwa ni pamoja na nguli wa muziki Lady Jay dee, Matonya, Jahazi Modern Taarab, African Stars, Fm Academia, na wengineo wengi.
Katika tuzo hizo jumla ya makundi 20 yameteuliwa yakiwemo Mwimbaji Bora wa Kike, Mwimbaji Bora wa Kiume, Albamu bora ya Taarab, Wimbo bora wa Taarab, Wimbo wa Mwaka, Wimbo Bora wa Kiswahili na mengineyo.

Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, Oscar Shelukindo (katikati) akionyesha kipeperushi kwa waandishi wa habari leo mchana baada ya uzinduzi...
No comments:
Post a Comment