Thursday, March 12, 2009

WIZI WA SAMAKI- MAHAKAMA YAHAMIA BANDARINI

Hatimaye mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imelazimika kwenda kuwasomea mashtaka yao watuhumiwa wa wizi wa samaki katika bahari ya hindi, eneo la Tanzania bandarini kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa mahakama hiyo.

Sababu hizo ni pamoja na kushindwa kufika kwa wahandisi wa meli ya uvuvi ya Al Tawariq 1 mahakamani hapo kusomewa mashtaka yao, kutokana na kushindikana kuzima injini za meli hiyo, na hivyo mahakama kulazimika kwenda bandarini.


Watuhumiwa wa wizi wa samaki katika bahari ya Hindi wakiwa mahakamani leo


Watuhumiwa wa wizi wa samaki wakiwa chini ya ulinzi mkali kuelekea bandarini...

No comments:

Post a Comment