Friday, March 20, 2009

TUZO ZA MWANDISHI BORA WA MWAKA ZAZINDULIWA

Baraza la Habari Tanzania (MCT), kwa kushirikiana na vyama sita vya waandishi wa habari pamoja na Kampuni ya Shaba and Associates leo vimesaini mikataba ya makubaliano kuhusu kuanzishwa kwa tuzo za mwandishi bora wa mwaka.

Akizungumza leo jijini Dar es Salaam mara baada ya utiaji saini, Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga amesema hii italeta changamoto kwa wana taaluma wa habari kufanya kazi yao kwa juhudi kubwa ukilinganisha na sasa.


MCT-Executive secretary, Kajubi Mukajanga (left) signs a MoU of the Journalist of the Year Awards with Shaba &Associates CEO, Richard Shaba today

No comments:

Post a Comment