Monday, March 23, 2009

MOTO WAWAKA DAR, PWANI

Hoteli ya Paradise imeteketea kwa moto leo asubuhi huko Bagamoyo mkoa wa Pwani. Ni hali ya majonzi iliyotawala katika eneo hilo la hoteli ambapo baadhi ya wapangaji wake walionekana kubeba mizigo yao vichwani na kutimkia huku na kule.

Halikadhalika jijini hapa, moto umeteketeteza nyumba moja katika eneo la mtoni kijichi.


baadhi ya zilizzokuwa nyumba za makuti za hoteli ya Paradise zikionekana baada ya kuteketea kwa moto

No comments:

Post a Comment