Thursday, March 19, 2009

YANGA YAIFUNGA POLISI MORO KWA TAABU...


Mchezaji wa timu ya Polisi ya Morogoro, Adamu Juma akianguka nyuma ya Athumani Idi wa Yanga na kuunawa mpira jambo lililopelekea mwamuzi kutoa peneti iliyozaa bao pekee kwa timu ya Yanga, wakati wa mechi ya ligi Kuu Tanzania Bara iliyochezwa katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam leo alasiri.

No comments:

Post a Comment